ForeverMissed
Large image
Tributes
April 24, 2013
April 24, 2013
My boss Amunga! Siwez I kukusahau maishani mwangu kwa ukarimu wako na huruma zako kwangu na kwa staff wenzangu! Bado nakukumbuka sana Mzee wa cash money, Mzee wa mambo zenyu, Mzee wa Jambo. Hakuna m-ke km ww mwenye moyo wa ajabu usiyejua kubagua . MUNGU AKUPUMZISHE KWA AMANI PEPONI aaamin
June 26, 2012
June 26, 2012
F Baby, i still can't believe you are gone forever. Remember that cheering song you liked? Kuna wale wa belavista, na kuna wale wa bambika............ I will miss you. R.I.P Amunga

Leave a Tribute

Light a Candle
Lay a Flower
Leave a Note